Mchezaji wa Everton ameumia vibaya alipokumbana na mchezaji wa West Brom Rondon katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza mechi iliyomalizika kwa sare ya goli 1-1.
Mpaka sasa hakuna taarifa rasmi juu ya jeraha hilo lakini kwa mtazamo wa haraka hawezi kucheza tena katika msimu huu wa 2017/18.
0 coment�rios: