Wednesday, 28 February 2018

Kikosi cha Yanga kinachoanza Ndanda vs Yanga

Kikosi cha Yanga ni : Youthe Rostand, Hassani Ramadhan Hamis 'Kessy', Mwinyi Haji, Juma Saidi Makapu, Kelvin Yondani, Pato Ngonyani, Emmanuel Martin, Papy Kabamba Tshishimbi , Pius Buswita, Raphael Daud, Ibrahim Ajibu. Benchi: Ramadhani Kabwili, Juma Abul, Gadiel Michael, Buruan Yahya, Makka Edward, Yusuph Mhilu, Geofrey Mwaishiuya. Yanga watajitupa katika uwanja wa Nangwanda Sijaona Mjini Mtwara kucheza na wanakuchele Ndanda FC katika mchezo wa mwisho wa raundi 19 jioni hii. Kufungwa kwa Yanga ama kushinda hakutabadilisha msimamo wa ligi hasa katika nafasi tano za juu ambapo Simba wanaongoza wakiwa na alama 45 huku Yanga wakiwa na alama 37

0 coment�rios: