Friday, 16 March 2018

SWITZERLAND: Droo ya michuano ya UEFA Europa League imefanyika leo Machi 16, 2018 katika mji mkuu wa nchi hiyo Zurich

- Mechi za kwanza za robo fainali hiyo zitachezwa siku ya alhamis 5 Aprili, huku mechi za marudiano zikichezwa siku ya alhamis 12 Aprili 2018

0 coment�rios: