
Tarimba Abas anena kuhusu kamati yake
“ tumesikia wachezaji baadhi tu ndio wana mikataba na klabu kwa sasa wengi mikataba yao imekwisha. Jukumu la kamati yetu kwanza kabisa ni kurudisha heshima ya Yanga nchini pia kuifanya timu ya ushindani kimataifa. Tutakutana haraka kuona nini kifanyike ili kuipa nguvu timu. Nguvu ya timu ni ubora wa wachezaji na bechi la ufundi kwa matokeo chanya. Si kazi ndogo lakini tutahakikisha tunafanya kile tunachoweza kwa dhamana tuliyopewa na wanachama na Mungu atasaidia. Kikubwani ushirikiano pande zote kwa masilahi mapana ya klabu.‘
- Tarimba Abbas

0 coment�rios: