Oscar Pistorius aongezwa miaka 13 jela November 24, 2017 0 Mahakama ya Rufaa nchini Afrika Kusini mtandao wa mo dewji blog news umeripoti kuwa imeongeza muda wa kifungo cha mwanariadha Oscar Pistorius kutoka miaka sita hadi miaka 13 na miezi mitano kwa kosa ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp. Tweet Share Share Share Share
0 coment�rios: